NIA YA KUOGA ILI KUONDOA JANABA,HEDHI NA NIFASI
Tumeona kuwa mwanamme anahusika na janaba tu lakini mwanamke anahusika na majosho ypute matatu,Janaba,Hedhi na Nifasi.
NIA YA JANABA
Nawaytu rafa'al janaba{Nanuiya kuondoa Janaba}
>NIA YA HEDHI
Nawaitu twaharata minal haidhwi{Nanuia kutwaharika kutokana na hedhi}
>NIA YA NIFASI
Nawaitu twaharata mina nifasi{Nanuia kutwaharika kutokana na nifasi}

Comments
Post a Comment